GlobalVoices katika

Habari mpya

25 Januari 2012

Photos jumbe
Tunisia: Mwaka 2011 katika Picha za Mitandao ya Kijamii

Soma makala hii.

The year 2011 was a year of change in Tunisia. It started with the fall of the regime of Zeine El Abidine Ben Ali, and ended with Islamists' rise to power through the polls. Check out this photography post about the major events that marked Tunisia during the year.

Ivory Coast: Mjadala Mkali dhidi ya Chombo cha Habari kilichotumia Picha za Mwanablogu Bila Ruhusa

Soma makala hii.

For the blogger and professional photographer Audrey Carlalie, the Christmas 2011 holidays were marked by the fact that her photos of a celebratory firework display were used by certain Ivorian newspapers without her authorization. Kanigui reports.For the blogger and professional photographer Audrey Carlalie, the Christmas 2011 holidays were marked by the fact that her photos of a celebratory firework display were used by certain Ivorian newspapers without her authorization. Kanigui reports.

Zambia: Kiongozi wa Upinzani Awa wa Kwanza Kulihutubia Bunge la Facebook

Soma makala hii.

Rais wa Chama cha upinzani cha NAREP (National Restoration Party) Elias Chipimo Jr. amekuwa mwanasiasa wa kwanza katika nchi hiyo “kulihutubia” bunge la Facebook nchini Zambia linaloaminika kuwa na wanachama 1,318 baada ya kuruhusiwa na “Spika” kutuma ujumbe wake wa mwisho wa mwaka.

Venezuela: Ziara ya Mahmoud Ahmadinejad Yaibua Utata

Rais wa Iran, Mahmud Ahmadinejad, aliwasili nchini Venezuela Jumapili, Januari 8, katika kituo chake cha kwanza cha ziara ya ya nchi kadhaa za Marekani ya Kusini. Ziara yake imechochea miitiko mikali kweny mitandao ya kijamii, ambako watumiaji wanahoji kama uwepo wake unaweza kuwa na faida yoyote kwa taifa.

16 Januari 2012

Singapore: Maoni ya Waziri Yasababisha Tafrani Mtandaoni

Soma makala hii.

Fahamu kwa nini sentensi hii “Nilipofanya uamuzi…” imezua tafrani mtandaoni nchini Singapore inayotokana na kauli iliyotolewa na waziri mwandamizi wa nchi hiyo. Hiyo ni kufuatia uamuzi wa serikali kupunguza mishahara ya wanasiasa ambao ni kati ya watu wanaolipwa zaidi duniani.

8 Januari 2012

Zambia 2011: Matukio Mawili Yaliyotikisa Taifa

Soma makala hii.

Matukio mawili nchini Zambia yatatambuliwa kama matukio yaliyoitikisa nchi hiyo mwaka 2011. Tukio la kwanza lilikuwa ni kifo cha Rais wa pili wa Jamhuri Frederick Chiluba na tukio la pili lilikuwa kushindwa kwa chama cha MMD baada ya miaka 20 madarakani.

4 Januari 2012

Suluhisho la Kiradikali la Umaskini Duniani: Ufunguzi wa Mipaka

Soma makala hii.

Wataalamu kadhaa wanasema kuwa umaskini uliokithiri hauepukiki. Suluhisho la kiradikali zaidi la kupunguza umaskini kwa haraka duniani kwa wataalamu wengi wa uchumi ni kufungua mipaka kati ya nchi na kuruhusu wafanyakazi kuhamia sehemu ambazo nguvukazi inahitajika zaidi.

21 Disemba 2011

Uzbekistan: Mchezo wa Siasa katika Facebook

Facebook inaonekana kuanza kuchukua jukumu muhimu katika siasa za Uzbek. Hata hivyo , facebook ni imekuwa ni zaidi kwa ajili ya michezo na akaunti za kugushi kuliko chombo kuwa chombo cha harakati za kiraia. Ekaterina anaripoti.

19 Disemba 2011

Mexico: Wanafunzi Wawili Wauawa Kwenye Maandamano Huko Ayotzinapa

Soma makala hii.

Wanafunzi wawili, Jorge Alexis Herrera Pino na Gabriel Echeverría de Jesús, waliuawa tarehe 12 Desemba 2011, wakati wa maandamano ya wanafunzi wa shule ya vijijini ya Raúl Isidro huko Ayotzinapa, mji mkuu wa Guerrero, Chilpancingo, nchini Mexico. Mitazamo yenye utata kuhusu yalioyotokea imechapishwa mtandanoni.

16 Disemba 2011

Uarabuni: Hongera Tunisia!

Soma makala hii.

Human rights activist Moncef Marzouki, 66, has been elected as Tunisia's new interim president today. His appointment, which was followed by a moving acceptance speech, was noted by netizens from across the Arab world, who cheered on Tunisia's progress towards democracy, wishing the same for their countries.

Sehemu za Dunia

Nchi

Lugha